Msaada jinsi ya kufanya confirmation

Msaada jinsi ya kufanya confirmation

Nizzoh824

JF-Expert Member
Joined
Apr 27, 2016
Posts
239
Reaction score
140
Habar zenu wakuu

Bila kupoteza muda, naomba msaada jinsi ya kufanya confirmation kwa wanafunzi walio chaguliwa kujiunga na vyuo vya elimu na mafunzo ya ufundi niki maanisha walio chaguliwa kutoka form four moja kwa moja.
Ni hilo tu.
 
ingia web ya nacte utaona kipengele cha UTHIBITISHO,gonga hapo kisha endelea
 
Asante mkuu nmeingia naingiza namba ina goma naomba unipe mfabo jinsi ya kuandika ile namba pale
ingia web ya nacte utaona kipengele cha UTHIBITISHO,gonga hapo kisha endelea
 
cku unajisajili nazani ulipewa user name pamoja password yake hvo unatakiwa utumie hizohizo kuingia na ukikoxea ata kitu kimoja aiwezi kufunguka kuwa makini wakati unaingiza
 
cku unajisajili nazani ulipewa user name pamoja password yake hvo unatakiwa utumie hizohizo kuingia na ukikoxea ata kitu kimoja aiwezi kufunguka kuwa makini wakati unaingiza
iyo haitumii user name mkuu anatakiwa kuweka namba ya mtihani pamoja na email Apo ikifunguka majina atayakuta umo ndani pamoja na course aliyochaguliwa atajaza anapoitajika kujaza
Note:wakati wa kujaza namba ya shule asiweke nukta Kama tulivozoea
Mfano S.1007/004❌❌
S1007/004✔️ kwa chini utaweka email
 
Back
Top Bottom