Msaada: Jinsi ya Kubadilisha IMEI

Msaada: Jinsi ya Kubadilisha IMEI

Yani hapo mpaka ui-root install exposed, then xposed imei changer. Ingekuwa ni mtk ungeroot tu halafu unatumia mobile uncle. Lakini hiyo mpaka utumie hiyo process hapo, na unatakiwa ujue unachofanya au utaifanya simu yako kopo(IYO NI WARNING USINILAUMU MIMI IKIWA KOPO) 😛
Hii kitu naona ina process ndefu, ngoja tu niwasubiri hao Tcra June, wakati huo naendelea kujipanga kupata simu nyingine.
Thanks Though.
 
Hii kitu naona ina process ndefu, ngoja tu niwasubiri hao Tcra June, wakati huo naendelea kujipanga kupata simu nyingine.
Thanks Though.
Au mkuu upo TCRA unajaribu kupata mbinu mbadala za wadau, ni ngumu sana kuzuia mvua kwa chekeche
 
Back
Top Bottom