alex255
Senior Member
- Jun 5, 2017
- 119
- 46
Habar ndungu wana jf.
Naombeni msaada wa kimawazo ni jinsi gani naweza badili course kwa mwaka wa masomo 2017/2018 ambapo awaki nilikuwa nasoma degree ya building economics ila sijaipenda kwa kwel
je wakati gani naweza fanya ili nipate admission mpyaa.
Nawasilishaa wapendwaaa
Naombeni msaada wa kimawazo ni jinsi gani naweza badili course kwa mwaka wa masomo 2017/2018 ambapo awaki nilikuwa nasoma degree ya building economics ila sijaipenda kwa kwel
je wakati gani naweza fanya ili nipate admission mpyaa.
Nawasilishaa wapendwaaa