Msaada: jinsi ya ku unlock hii modem ya airtel

Msaada: jinsi ya ku unlock hii modem ya airtel

umeomba msaada nimekupa mbona una mashaka hiyo ni all modem unlocker niliyo tumia hivyo kuna kila jina la modem mpaka nyingine sijawai kuzisikia

mbona sio mm aliyeomba ku unlock modem bali ni Kal4kaizy mm nauliza for knowledge

mkuu basi fanya kunipa jina ili ni download hiyo kitu....au kama hauta mind attach hapa jf au hapa rachyvici@yahoo.com
 
Last edited by a moderator:

Attachments

Last edited by a moderator:
sasa iyo imei niya airtel gani kumbukei kuweka aina kama ni zte au huawei au aina zingine maana nashindwa kuleta jibu sahihi
Mkuu n zte MF190 imei yake n 865720019030631 msaada tafadhal.
 
Mkuu n zte MF190 imei yake n 865720019030631 msaada tafadhal.

hiyo inaitaji unlocker wala haiwi unlocked kiulaini na IMEI japo yangu iliombaga unlock code lkn sikuwa na zte/universal calculator

lkn niliipotezea nakuchukua program
 
Mkuu n zte MF190 imei yake n 865720019030631 msaada tafadhal.

download hiyo unloacke niliyo iupload maana zte mf190 huwa ni kichwa ngumu ku unlock kwa pin mara nyingi inakataa mpaka code reset zako zitaisha
 
dah mkuu ungetupia link ya kudowload ingekuwa poa zaid.
 
asa wajamaa, mfano moderm ya airtel then umesha unlock ukaweka line ya voda, je hapo vip kuhusu software?
 
asa wajamaa, mfano moderm ya airtel then umesha unlock ukaweka line ya voda, je hapo vip kuhusu software?

utaendelea kutumia ileile software ya airtel na connection name ileile ya airtel au ukipenda unaweza badilisha
 
Du! nimwakubali, jf siondoki maana napata vitu ambavyo sikuwafikiri kama nitavipata. BIGUP
 
utaendelea kutumia ileile software ya airtel na connection name ileile ya airtel au ukipenda unaweza badilisha

Dah!, aisee umetisha. ngoja na mimi nitakutumie izo namba unifanyie mautundu moderm yangu ya airtel ZTE zile mpya nyekundu zenye 3.7G tuweze tumia line zote, unisaidiage jombii.
 
Back
Top Bottom