modem ni ALCATEL X230E
nitumie imei zake
tatizo modemu yako bado sijaipata kidogo nipe dakika kama kumi ivi nitakuletea jibu
kaka ya kwangu ni airtel imei yake n 865720019030631 msaada tafadhal.nitumie imei zake
hupo wapi? na type gani hiyo huawei au zte?
tatizo modemu yako bado sijaipata kidogo nipe dakika kama kumi ivi nitakuletea jibu
kaka ya kwangu ni airtel imei yake n 865720019030631 msaada tafadhal.
Niko musoma. modem type ni ALCATEL na campuni AIRTEL
fungulia hizi 98443390
sasa unapopata hizo unlocke code au flash code unafungulia wapi
mbona dashboard yake siioni?
Weka line tofauti na ya mtandao wa modem yoko. Kwa mfano modem yangu ni ya mtandao wa airtel, nikaweka line voda ikadai code nikaweka ndio ikakubali kukonect. Baada ya hapo natumia line ya voda au tigo au airtel bila shida.
fungulia hizi 98443390