Wakuu jino langu la mbele limeoza nataka kung'oa na kuweka lingine. Naombemi mnitajie hispitali yenye madaktari wazuri hapa Dar na yenye gharama nafuu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Najua kuna wataalam hapaWakuu jino langu la mbele limeoza nataka kung'oa na kuweka lingine. Naombemi mnitajie hispitali yenye madaktari wazuri hapa Dar na yenye gharama nafuu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu hii page niliiona tu Insta jamaa wanadili na mambo ya kinywa unaweza,tembelea ukiona itakufaa unaweza watafuta link hapo chiniWakuu jino langu la mbele limeoza nataka kung'oa na kuweka lingine. Naombemi mnitajie hispitali yenye madaktari wazuri hapa Dar na yenye gharama nafuu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nataka permanent dentures with root and crown mkuuInategemea unataka kuweka jino gani. Kama unataka removable partial dentures au unataka permanent dentures with root and crown.
Ahsante mkuu ngoja nitawachekiMkuu hii page niliiona tu Insta jamaa wanadili na mambo ya kinywa unaweza,tembelea ukiona itakufaa unaweza watafuta link hapo chini
Login • Instagram
Welcome back to Instagram. Sign in to check out what your friends, family & interests have been capturing & sharing around the world.instagram.com
bado mkuu ndio najaribu kuulizia sehem nzuri na gharamaMrejesho kaka. Ulienda kupata huduma hospital gani. Huduma ilikuaje