Msaada jibu la Quiz ni ngapi?

inakuaje mbili iwe moja, umekosea kidogo
Muache mwenye marking scheme aje aseme mwenyewe, wengine hapa sisi ni wahandisi so hisabati ni kama maji kwenye damu
 
inakuaje mbili iwe moja, umekosea kidogo
wewe ndo umekosea hayo maumbo ni unknowns kwa hiyo baada ya x,y and z akatumi hayo maua
ua jekundu=x
ua la blue=y
ua la njano=z
so kwa kutumia algebraic xpression jibu ni 101
x=20, y=5, z=1. hivyo jamaa yupo right.
 
20 + 20 + 20 = 60
20 + 5 + 5 = 30
5 - 2 = 3
1 + 20 x 5 = 101

The answer is 101

By Kap Mat, Reg. Eng. (Telecommunications)
injinia kwel kabisa hilo jibu hapo?? au umeghalifika kwa bahati mbaya
 
Jibu ni 101.

Alizeti zipo mbili ambayo kila mmoja ina value ya 1.
 
wewe ndo umekosea hayo maumbo ni unknowns kwa hiyo baada ya x,y and z akatumi hayo maua
ua jekundu=x
ua la blue=y
ua la njano=z
so kwa kutumia algebraic xpression jibu ni 101
x=20, y=5, z=1. hivyo jamaa yupo right.
Mkuu nimekupata, kumbe kuna njano mbili kwenye eqn 2, hapo sawa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…