uludodi
JF-Expert Member
- May 23, 2014
- 574
- 913
Msaada tatizo la uume.
Kwanza mke wangu alikua na *U T I* Ametibiwa kapona ila mimi kuna tatizo kwenye uume kwanza unaota vipele vyeusi ambavyo havitoki halafu leo nimejichunguza kwenye tundu la mkojo kunaonekana ndani kumeota kama vinyamanyama vinamadoadoa ila haviwashi wala nini sijajua tatizo ni nini? uume hauwashi hata kidogo. Kwa mwenye ufaham naomba ushauri
Kwanza mke wangu alikua na *U T I* Ametibiwa kapona ila mimi kuna tatizo kwenye uume kwanza unaota vipele vyeusi ambavyo havitoki halafu leo nimejichunguza kwenye tundu la mkojo kunaonekana ndani kumeota kama vinyamanyama vinamadoadoa ila haviwashi wala nini sijajua tatizo ni nini? uume hauwashi hata kidogo. Kwa mwenye ufaham naomba ushauri