Msaada: Je naweza kuapply course mbalimbali kwa kila chuo?

Ototo

JF-Expert Member
Jun 26, 2016
1,215
1,076
Habari za saa hizi wanajukwaa.

Nimehitimu kidato cha sita mwaka kwa combination ya EGM.

Na nina division two. Na kama mnavyofahamu TCU wameshatoa ruksa kuanza kuapply vyuo vikuu

Sasa kabla sijaanza kuapply naomba nifahamishwe hivi.
Vipi ninaweza kuapply faculty mbalimbali kwa kila chuo.

Yaani kwa mfano UD niaplly B.A.ECONOMICS, ARDHI niaplly BAF, IFM niaplly BBA na mzumbe BAF.

Hili linakubalika? Au ninapaswa kuapply faculty moja vyuo vitano?
Msaada wenu tafadhali
 
Vyuo unachagua vitano tofauti kozi inaweza kua moja kwa vyuo vyote au tofauti kwa vyuo vyote vitano BUT kwa chuo kimoja mfano UD ni ruksa kuomba kozi tatu mwisho
 
Vyuo unachagua vitano tofauti kozi inaweza kua moja kwa vyuo vyote au tofauti kwa vyuo vyote vitano BUT kwa chuo kimoja mfano UD ni ruksa kuomba kozi tatu mwisho
Last round 2015 ilikuwa program sio zaidi ya mbili kwa chuo kimoja na maximum ya program tano.
 
"Vipi ninaweza kuapply faculty mbalimbali kwa kila chuo"
Hili neno naona vijana wengi mnalitumia: unaomba kitivo au unaomba kozi?!
 
Umeshasema last round ila first nikama kawaida
Check guidelines za mwaka wa jana (tusubiri pia za mwaka huu)
3.1 Applicants should NOTE the following;

ii) Applicants will be required to choose 3-5 programme choices with maximum of two programme choices from one institution basing on programme requirements given in the ‘Undergraduate Students Admissions Guidebook for Higher Education Institutions’ available on TCU and NACTE websites.
Source: Undergraduate Admissions Guidebook for Higher Education Institutions in Tanzania 2015/2016 TCU
 
"Vipi ninaweza kuapply faculty mbalimbali kwa kila chuo"
Hili neno naona vijana wengi mnalitumia: unaomba kitivo au unaomba kozi?!
Mimi hata sielewi kitivo ina maana gani mkuu..
Waweza kunielewesha tafadhali tofauti ya kitivo na kozi?
 
Check guidelines za mwaka wa jana (tusubiri pia za mwaka huu)
3.1 Applicants should NOTE the following;

ii) Applicants will be required to choose 3-5 programme choices with maximum of two programme choices from one institution basing on programme requirements given in the ‘Undergraduate Students Admissions Guidebook for Higher Education Institutions’ available on TCU and NACTE websites.
Source: Undergraduate Admissions Guidebook for Higher Education Institutions in Tanzania 2015/2016 TCU
Sasa ipi ni bora zaid kuandika facult moja kwa kila chuo vitano au facult tofaut tofaut kwa kila chuo vitano???
 
Sasa ipi ni bora zaid kuandika facult moja kwa kila chuo vitano au facult tofaut tofaut kwa kila chuo vitano???
Hapa kila mtu atakuwa na strategy yake. Unataka upate udahili kwenye program ("course") unayotaka kwenye chuo unachotaka kutokana na ufaulu wako. Ukiwa na ufaulu wa kiwango cha juu una choice kubwa ya program na vyuo kwani unaweza kuhimili mashindano hivyo kama unataka MD unaweza kuchagua chuo chochote (1-3 programs za Medicine). Ukiwa na ufaulu mdogo vyuo kama MUHAS (Muhimbili) una nafasi finyu sana yakupenya hivyo unatakiwa uwe more strategic na labda uchague na "course" nyingine tofauti. Kuna program ambazo labda ziko chuo kimoja au viwili tu-hapo unajiuliza je naweza kupenya? Issue ya mkopo nayo ni kitu cha kutia maanani-kwa mfano ualimu, kuna ushindani mkubwa sana UDSM, MUCE na DUCE (sio kama wengi wetu tunavyo-amini). Hapo kwenye ualimu na ajira baada ya kazi inachangia. Hivyo sio rahisi kujua kipi ni kizuri katika hivyo ulivyo andika kila mtu ataangalia mkakati utakao muwezesha adahiliwe.
 
Back
Top Bottom