JMP Mchungu
Member
- Jun 30, 2015
- 49
- 127
Ndugu wana JF mimi nipo UDOM ila mkopo umeenda MWECAU nipo nafanya taratibu kurudisha ila wasiwasi wangu ni;
Pale MWECAU ada ilikuwa 1.5M na BODI wakanilipia 1.245M ila hapa UDOM ada ni 1.2M! Je,mkopo ukirudi watarudisha hiyo hela yote au wanafanyaje hapo?? maana wakirudisha wote sitatakiwa kulipa chochote labda michango mingine! naomba msaada
Pale MWECAU ada ilikuwa 1.5M na BODI wakanilipia 1.245M ila hapa UDOM ada ni 1.2M! Je,mkopo ukirudi watarudisha hiyo hela yote au wanafanyaje hapo?? maana wakirudisha wote sitatakiwa kulipa chochote labda michango mingine! naomba msaada