Msaada jamani

Msaada jamani

Ngatelefijo

Member
Joined
Jan 7, 2014
Posts
20
Reaction score
3
Wadau naomba ushauri kuna gari nataka kununu aina ya CARINA SI YA 2001 CC 1762 wataalam naombeni ushauri service,spare,ulaji mafuta na mengine ushauri wadau
 
Achana nayo kwanin usinunue Carina Ti kama kama unahofia ulaji wa wese.
 
Tumegundua mafuta hapa maeneo ya feri karibu na ikulu kuhusu mafuta usihofu labda mengineyo.
 
Back
Top Bottom