Msaada jamani

Msaada jamani

Zooxathellae

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2015
Posts
323
Reaction score
278
Salam zenu wakuu.

Nimekuwa katika mahusiano ya kimapenzi na mpenzi wangu kwa muda wa miaka 3 na uhusiano wetu ulikuwa strong. Katika suala LA mapenzi kila mmoja alikuwa akiridhisha mwenzie bila tatizo. Wakati huo wote nilikuwa na uwezo wa kumfikisha crimax hadi anasema imetoshaaa. Ila kwa sasa siko nae katika mahusiano tena.

Kwa sasa niko na mpenzi mwingine ila shughul yake ni kwamba tukiwa tuna -do...huwa sichukui hata dakika 2 nakuwa nisha fika wakati yeye ndo bado kabisa.

Naombeni ushauli...ni kwa nini uwezo wangu kusex umeonekana kuwa mdogo nikiwa na huyu mpenzi wa sasa..

It pain aisee...karibu..
 
dk mbili ni nyingi sana
ukienda dk kumi watataka dk 30
ukienda dk 30 watataka saa nzima
 
Tuliza akili dogo
The fact kuwa bado unamfikiria yule na pia we kuhofia kumaliza mapema kuna kuumiza akili
 
Tafuta mdada wa kichaga yeye hata dakika moja anaridhika tu hawanaga shida

Sina uzoefu nao me nasikiaga tu kwny vibanda vya kahawa
 
Tendo la ndoa nalo ni kipaji kwahyo utakuwa huna kipaji kunako 6*6
 
Salam zenu wakuu.

Nimekuwa katika mahusiano ya kimapenzi na mpenzi wangu kwa muda wa miaka 3 na uhusiano wetu ulikuwa strong. Katika suala LA mapenzi kila mmoja alikuwa akiridhisha mwenzie bila tatizo. Wakati huo wote nilikuwa na uwezo wa kumfikisha crimax hadi anasema imetoshaaa. Ila kwa sasa siko nae katika mahusiano tena.

Kwa sasa niko na mpenzi mwingine ila shughul yake ni kwamba tukiwa tuna -do...huwa sichukui hata dakika 2 nakuwa nisha fika wakati yeye ndo bado kabisa.

Naombeni ushauli...ni kwa nini uwezo wangu kusex umeonekana kuwa mdogo nikiwa na huyu mpenzi wa sasa..

It pain aisee...karibu..
Salam zenu wakuu.

Nimekuwa katika mahusiano ya kimapenzi na mpenzi wangu kwa muda wa miaka 3 na uhusiano wetu ulikuwa strong. Katika suala LA mapenzi kila mmoja alikuwa akiridhisha mwenzie bila tatizo. Wakati huo wote nilikuwa na uwezo wa kumfikisha crimax hadi anasema imetoshaaa. Ila kwa sasa siko nae katika mahusiano tena.

Kwa sasa niko na mpenzi mwingine ila shughul yake ni kwamba tukiwa tuna -do...huwa sichukui hata dakika 2 nakuwa nisha fika wakati yeye ndo bado kabisa.

Naombeni ushauli...ni kwa nini uwezo wangu kusex umeonekana kuwa mdogo nikiwa na huyu mpenzi wa sasa..

It pain aisee...karibu..
Hiyo nayochabgamoto Duh
 
Back
Top Bottom