congobe
JF-Expert Member
- May 31, 2012
- 561
- 129
mi mwalimu nataka kumfuata mume wangu anakoishi nimetuma barua ya maombi pamoja na cheti cha ndoa ,kwanza head master ame coment kwamba imepitishwa afikiriwe kupatiwa mwalimu mbadala,nimemwona DEO anasema nipereke mwalimu ndo nipate kuhama kumfuata mume wangu naomba ushauri wenu walimu tunaonewa sana jamani