BradFord93
JF-Expert Member
- Oct 11, 2017
- 910
- 2,165
Kuna tatzo linanisumbua siku ya 3 leo
Sijisikii kula
Hata nikila nakula kidogo saana
Halafu pia tumboni nahic kuna kitu ki nakwangua....kinataka kutoka nje lakii hakitoki
Naomba kujua nini tatizo??
Solution ni nini pia
Sijisikii kula
Hata nikila nakula kidogo saana
Halafu pia tumboni nahic kuna kitu ki nakwangua....kinataka kutoka nje lakii hakitoki
Naomba kujua nini tatizo??
Solution ni nini pia