mkandaboy
JF-Expert Member
- Jan 19, 2012
- 256
- 88
Habari zenu wana JF? Poleni kwa majukumu mbalimbali.
Tafadhali nisaidieni; Mama yangu mdogo ana tatizo la kunyonyoka nywele ambalo ameligundua miezi michache iliyopita. Zinanyonyoka zaidi anapooga ama kuzichana kwa chanio. Hazijawekwa dawa yoyote(mfano relaxer, curl etc), wala yeye hatumii dawa zozote kwa ajili ya ugonjwa wowote. Tafadhali kama kuna yeyote mwenye kufahamu tiba kwa ajili ya tatizo hili anijulishe.. Ahsanteni great thinkers..
Tafadhali nisaidieni; Mama yangu mdogo ana tatizo la kunyonyoka nywele ambalo ameligundua miezi michache iliyopita. Zinanyonyoka zaidi anapooga ama kuzichana kwa chanio. Hazijawekwa dawa yoyote(mfano relaxer, curl etc), wala yeye hatumii dawa zozote kwa ajili ya ugonjwa wowote. Tafadhali kama kuna yeyote mwenye kufahamu tiba kwa ajili ya tatizo hili anijulishe.. Ahsanteni great thinkers..