Jeff
JF-Expert Member
- Sep 26, 2009
- 1,293
- 199
wana JF, naamini hapa kuna mawazo na msaada tofauti,mimi ni member humu ndani wa muda mrefu kidogo,sasa nimemaliza degree ya nutrition,natafuta kazi lakini bado sijafanikiwa kupata nahitaji kufanya temporary au part time job yeyote ili niweze kuapata pesa ya kufanyia application na nauli za kila siku pamoja na za kwuhudhuria kwenye interview pindi nitakapoitwa
nahitaji msaa wenu kwa yeyote, nina degree ya nutrition upper second,na skills kibao kama vile data analsis using spss,etc
nahitaji msaa wenu kwa yeyote, nina degree ya nutrition upper second,na skills kibao kama vile data analsis using spss,etc