Huruhusiwi kukata rufaa maana wewe hukuwa mmoja wa party wa kesi bali ni shahidi tu! Pia kesi haiwezi kurudiwa, otherwise mshtakiwa atakuwa na defense nzuri na atashinda tena.
Cha kufanya: Jaribu kuongea na Polisi ili uwashawishi wakate rufaa, pia zingatia usiwe nje ya muda wa kukata rufaa!