Wa kusoma
JF-Expert Member
- Jul 30, 2011
- 3,454
- 2,975
Ndugu zangu wanasheria naombeni msaada.
Wote mnajua kwamba kesi nyingi za jinai hupelekwa mahakamani na polisi na hivyo wakati kesi inaendeshwa wewe mwenye kesi unakuwa kama shahidi wa jamhuri dhidi ya mtuhumiwa.
Msaada wangu ni kwamba kuna wizi wa mali ulitokea nyumbani kwani nikamkamata mwizi na kumpeleka polisi. Polisi walifanya kazi yao ya upelelezi na mwisho wa siku jamaa alifikishwa mahakamani. Mimi niliitwa kama shahidi na kuthibitisha kama kweli mali iliibiwa kwangu. Kesi imeenda lkn mwisho wa siku jamaa ameshinda kesi na sasa yuko mtaani.
Nachotaka kujua ni kwamba mm nataka kukata rufaa au niombe kesi isikilizwe upya sasa sijui sheria hapa inasemaje maana kwenye kesi ile mm nilikuwa shahidi mlalamikajia alikuwa jamhuri sasa je mm naruhusiwa kukata rufaa au mpaka polisi?
Wote mnajua kwamba kesi nyingi za jinai hupelekwa mahakamani na polisi na hivyo wakati kesi inaendeshwa wewe mwenye kesi unakuwa kama shahidi wa jamhuri dhidi ya mtuhumiwa.
Msaada wangu ni kwamba kuna wizi wa mali ulitokea nyumbani kwani nikamkamata mwizi na kumpeleka polisi. Polisi walifanya kazi yao ya upelelezi na mwisho wa siku jamaa alifikishwa mahakamani. Mimi niliitwa kama shahidi na kuthibitisha kama kweli mali iliibiwa kwangu. Kesi imeenda lkn mwisho wa siku jamaa ameshinda kesi na sasa yuko mtaani.
Nachotaka kujua ni kwamba mm nataka kukata rufaa au niombe kesi isikilizwe upya sasa sijui sheria hapa inasemaje maana kwenye kesi ile mm nilikuwa shahidi mlalamikajia alikuwa jamhuri sasa je mm naruhusiwa kukata rufaa au mpaka polisi?