Kamwene kamwene
JF-Expert Member
- Jul 7, 2019
- 1,159
- 2,585
Hali ni mbaya jamani member mwenzenu naomba msaada wenu
Elimu yangu ni kidato cha nne
Sina muelekeo wa maisha yani asubuhi naamka kama mbuzi,natamani sana navyoona watu wanaamka wanaelekea kwenye majukumu mbalimbali..
Yeyote mwenye kibarau naomba
Yeyote mwenye ushauri naomba
Yeyote mwenye mchango iwe mtaji naomba
Naweza kufanya kazi mkoa wowote
Nimepata wazo la kutembeza viatu vya mtumba na kwenda navyo mnadani,
Mtaji ni laki moja na kuendelea
Naomba Mwenye chochote anisaidie namba yangu 0755293337
Elimu yangu ni kidato cha nne
Sina muelekeo wa maisha yani asubuhi naamka kama mbuzi,natamani sana navyoona watu wanaamka wanaelekea kwenye majukumu mbalimbali..
Yeyote mwenye kibarau naomba
Yeyote mwenye ushauri naomba
Yeyote mwenye mchango iwe mtaji naomba
Naweza kufanya kazi mkoa wowote
Nimepata wazo la kutembeza viatu vya mtumba na kwenda navyo mnadani,
Mtaji ni laki moja na kuendelea
Naomba Mwenye chochote anisaidie namba yangu 0755293337
Last edited: