Jaman jaman wana JF mwenzenu nimenasa naomba msaada sijui nina nini mimi,ndo hivo umri unanitupa mkono nakaribia miaka 35 sasa sijampata hata aliyewahi kunitangazia ndoa,cha ajabu kila anayelala na mimi siku ya pili harudii tena na hata nikimpigia simu hapokei
Hapo ndo linapoanzia tatizo najisikia vibaya...thatha hata mtaani nachagua kwa kupita !kuna mwanaume mmoja huyo ndo aliwahi kunichana live kuwa nina maji mengi na P.u.s.sy yangu kubwa kiasi kwamba ha piz hadi amfikirie demu wake wa zamani
Sasa basi jamani naomba msaada nifanyaje mie(true story from my friend....) Wanajamvi kuna dawa ya kupunguza haya maji na kuifanya hii nanilihii irudi ibanebane kidogo?
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums