Bardisbah
New Member
- Sep 29, 2020
- 2
- 2
Habari zenu, wakuu naomba Msaada ulikuwa ni tareh 27 mwezi wa 7 mwaka Huu 2021, nilikwenda Tra kuchukua TIN number nikafanikiwa kupata Biashara yangu ni playstation Nina TV moja chogo na moja flat sina fremu Bali nachezesha kihome nilishauriwa n friends nikachukue TIN ili nisije niksumbuliwa na baadhi ya watu, lakin leseni sikuchukua nilipata TIN Pekee hiv Leo nimekwenda kulipa deni ninalodaiwa na nataka nifunge Ile TIN, kwasbb nimeambiwa Mimi ningechukua kitambulisho nikaenda jiji nikpewa fomu toka jiji lakin baadhi y sehemu kweny Ile fomu inatak ujaze taarifa za leseni na Mimi sina je hapo nifanyeje?