MSAADA Jamani HARAKA..!!

MSAADA Jamani HARAKA..!!

Eng. Y. Bihagaze

JF-Expert Member
Joined
Sep 8, 2011
Posts
1,487
Reaction score
913
Kuna Mtu kafungua account ya FB Kwa Picha Na Jina Langu.. Na kaanza kupost maada Na watu wengi wanaonifaham wamejoin faster.. But he start doing fishy things ndiposa waliponipigia cm kuniuliza Kama account ni yangu , I Suprised kugundua ni kweli kuna raia anachoropoa. What can I do to stop this gut..
 
mtafute muongee kuna nn kat yenu wawl
Sidhani Kama Jukwaa hili linaweza kuwa Na watu wasio makini kama wewe, tafadhali bakia tu Kwenye jukwaa lako huku wapo watu makini wasio wachoyo wa kutoa elimu zao kama tulivyosikia, mie Nasema somebody ametengeneza profile ya Facebook Kwa kutumia my real name plus my picture pretending is me and post some post and many people joined and reply posts thinking is me.. Then this chap start posting fishy things ndipo wananchi wakanipigia cm confirming whether is true me kumbe SIO, now how can I know this crazy person be serious.. Nauliza how can I block this chap since many people think is me..

Mfano Mtu afungua FB account by the name and picture of Kinana and post some posts as kinana kumbe fake, si unaona jamii kubwa ya watu watadhani ni Yeye Na kusanganyika.. Sasa hatua gani nichukue kublock this chizi
 
Pamoja kuwa hutaki, kiukweli ni mtu mnae juana hutakiwi kuishia kumblock bali umsake na umtambue na akueleze sabau za kukuchafua ikiwezekan mfikishe kwa pilato!
wazo la mdau mmoja naliunga mkono kuna nini kati yenu?
 
Back
Top Bottom