msaada jaman kwa wajuzi wa mambo

msaada jaman kwa wajuzi wa mambo

gachuru one

Senior Member
Joined
Oct 31, 2014
Posts
119
Reaction score
52
ninatumia simu aina ya huawei y600 imeanza kuwa na tatizo lakuwa nikifungua program yoyote inapotea bila kufunguka pia inaniandikia kwamba suddenly ui stopped nifanyeje jaman
 
ninatumia simu aina ya huawei y600 imeanza kuwa na tatizo lakuwa nikifungua program yoyote inapotea bila kufunguka pia inaniandikia kwamba suddenly ui stopped nifanyeje jaman

Fanya kui reset/format alafu usikilize kama hamna changes yeyote basi iflash natumai itakubali.
 
Ndiyo ila fanya backup kabla yakui format ili usipoteze vitu vyako, viweke kwenye memory card na uitoe.
 
Back
Top Bottom