Loyal yatch
Member
- Jun 4, 2018
- 44
- 91
Habari za humu wakuu
Usiku wa leo vibaka wamekuja nyumbani wameiba vitu kadhaa laptop,fedha ,simu 2 Samsung pamoja na iphone x ,nataka kuitumia iphone kutafutia vitu vingine kwa sababu ilikua na icloud na ilikua ON pia mwenye uelewa kidogo jinsi ya kuipata msaada tafadhali
cc CHIEF MKWAWA
Usiku wa leo vibaka wamekuja nyumbani wameiba vitu kadhaa laptop,fedha ,simu 2 Samsung pamoja na iphone x ,nataka kuitumia iphone kutafutia vitu vingine kwa sababu ilikua na icloud na ilikua ON pia mwenye uelewa kidogo jinsi ya kuipata msaada tafadhali
cc CHIEF MKWAWA