Msaada iphone 4s inahitaji apple ID

Msaada iphone 4s inahitaji apple ID

X_INTELLIGENCE

JF-Expert Member
Joined
Mar 25, 2014
Posts
10,700
Reaction score
14,766
Wakuu nimeachiwa iphone 4s na best yangu mmoja hivi aliyekuwa hapa nchini tulikutana some where at the end akanipa iphone sasa sikuwa na haraka ya kuitumia juzi naiwasha inaniambia niingize apple id ili ifunguke kwa vyovyote vile itakuwa ni id ya yule aliyenipa ambaye naweza kusema tulikutana tu kibahati mbaya atukuwa tunafahamiana wala sizani kama nitakuja kukutana naye tena hivyo kwa yeyote fundi anayeweza kunifungulia hii simu awasiliane na mimi.

Nimejaribu mbinu zote ikiwemo ya kudowngrade lakini nimeshindwa naomba msaada fedha ya vocha nitatoa kwa atakaeweza kunisaidia.

Find_my_iPhone_Activation_lock.png
 
Kuwa makini vitu kama hivyo mzee,Isije ikwa ilihusiswa na tukio fulani ikaja kula kwako
 
Mmiliki wa hiyo simu ndo mwenye uwezo wa kuitoa apple id. Hakuna mafundi au wataalamu wa kuitoa hiyo kitu so usijisumbue mtafutate jamaa hata fb akupe password
 
Sema ukweli maana maelezo yako yana ukakasi si kawaida mtu ambaye mmeonana naye mara moja hapo hapo akupe iPhone na Kama ni ya kupewa mwenye nayo anajua fika huwezi ku-access chochote bila iCloud lazima angekupa tu password,
Mimi mwenyewe ninayo IPhone 4s sema ukweli usaidiwe mkuu.
 
Wakuu nimeachiwa iphone 4s na best yangu mmoja hivi aliyekuwa hapa nchini tulikutana some where at the end akanipa iphone sasa sikuwa na haraka ya kuitumia juzi naiwasha inaniambia niingize apple id ili ifunguke kwa vyovyote vile itakuwa ni id ya yule aliyenipa ambaye naweza kusema tulikutana tu kibahati mbaya atukuwa tunafahamiana wala sizani kama nitakuja kukutana naye tena hivyo kwa yeyote fundi anayeweza kunifungulia hii simu awasiliane na mimi.

Nimejaribu mbinu zote ikiwemo ya kudowngrade lakini nimeshindwa naomba msaada fedha ya vocha nitatoa kwa atakaeweza kunisaidia.

Find_my_iPhone_Activation_lock.png
Hii simu umeiba au imeibiwa!! HAKUNA FUNDI DUNIANI ANAYEWEZA KUTOA HIYO LOCK!!! na kama ni ya mzungu basi jiandae kukamatwa na FBI au interpol!!!

Last time nimeskia iCloud imefunguliwa ni kwenye ile kesi ya yule gaidi kule marekani ambapo FBI waliifungua tena kwa mbinde sana!!! Sasa kama unaifungua wapelekee FBI wakufungulie otherwise iweke kabatini au mpe mtoto achezee kama toi!!!

NB: NAWAPONGEZA SANA APPLE KWA JINSI WALIVYO na SECURITY MADHUBUTI!!!
 
Hiyo umeiba ndg kuwa tu wazi....labda tukwambia mpk hapo hiyo ni kopo tu kawauzie mafundi simu maana hata uende marekan hutaifungua
 
kaka hyo ki2 ni ya magumashi plz mku rudisha fastaa watakuja kukukamata kama panzi. huku Arizona nimesikia kuwa jamaa hata ukiizima kama haijaishiwa chaji wanaweza kuku locate na kukukamata vizur saana
 
Hii simu umeiba au imeibiwa!! HAKUNA FUNDI DUNIANI ANAYEWEZA KUTOA HIYO LOCK!!! na kama ni ya mzungu basi jiandae kukamatwa na FBI au interpol!!!

Last time nimeskia iCloud imefunguliwa ni kwenye ile kesi ya yule gaidi kule marekani ambapo FBI waliifungua tena kwa mbinde sana!!! Sasa kama unaifungua wapelekee FBI wakufungulie otherwise iweke kabatini au mpe mtoto achezee kama toi!!!

NB: NAWAPONGEZA SANA APPLE KWA JINSI WALIVYO na SECURITY MADHUBUTI!!!
Nilidhani umesema hakuna fundi duniani anaeweza kutoa hiyo lock, ukasisitiza kwa herufi kubwa, halafu hapo hapo unasema kuna FBI waliweza kuitoa kwa mbinde!

Very limited verbal reasoning. Tatizo kubwa sana Afrika, hatuwezi ku think clearly na inajidhihirisha kwenye speech zetu. Mfumo wa elimu unachangia.

Kumbe physically inawezekana, you just have to be as good as FBI technicians. Wewe hujui whether duniani kuna au hakuna techies wengine wazuri kama wa FBI, you don't know that!

Kwa taarifa yako FBI walifungua ile simu baada ya kununua software kutoka kwa kampuni binafsi iliyozima feature ya iPhone kujifuta wakati unajaribu ma milioni ya ma password, brute force! Kwa hiyo mafundi wenye uwezo huo walikuwepo nje ya FBI. Usiwaongelee mafundi wote duniani! You don't know that!
 
Ahahaha mara umesema best ulikutana naye akakupatia mara umemalizia mlikutana bahati mbaya hamkuwa mnafahamiana.
Sasa which is which. Any way mtafte mwenyewe ndiye anaweza itoa
 
FBI ni mafundi wa simu?
FBI sio mafundi simu?

Tena ni moto wa kuotea mbali. Here was the synopsis.

FBI waliwaomba Apple, fungueni hii simu. Apple wakasema hatuna uwezo huo kwa vile iPhone ikilazimishwa kufunguliwa, by brute force that is, inajifuta milele!

FBI wakasema ok tengenezeni code ya kuiambia iPhone isijifute. Apple wakakataa, wao wanajiuza kwa sifa ya ku address privacy concerns za wateja na wanajiuza pia kwa kusema hata sisi Apple wenyewe password yako hatuijui.

FBI wakawashtaki Apple mahakamani kuwalazimisha watengeneze software ambayo itatumika kusaidia kuifungua Iphone.

Wakati kesi inajivuta vuta FBI wakaiambia mahakama na Apple, you know what, never mind!

FBI kumbe wameingia mtaani wakapata ka kampuni fulani kalikokuwa kametunga code wanayoitaka FBI. FBI wakainunua software, wakaingia lab kwao, wakaitumia kuiambia iPhone usijifute wala usijizime wakati tunakushugulikia. Wakai hook iphone kwenye computer ambayo inajaribu ma combination ya maherufi yote na ma namba yote ulimwenguni! BRUTE FORCE! Wenyewe wanaita. Kitu kikabana, kikabana, kikabana, kikabana mara pooof, kikaachia! Kudadadada DEKI!

Kwa hiyo mpaka sasa, unless kuna updated development ambayo sijaisikia, FBI (pamoja na hao masela wao waliowauzia mchongo), FBI wanaijua iPhone kuliko Apple wenyewe to the extent of its security features.

Hao utasema sio mafundi?

The take home here is that usiseme "hakuna fundi duniani atafungua hiyo simu..." You don't know that!
 
Wakuu nimeachiwa iphone 4s na best yangu mmoja hivi aliyekuwa hapa nchini tulikutana some where at the end akanipa iphone sasa sikuwa na haraka ya kuitumia juzi naiwasha inaniambia niingize apple id ili ifunguke kwa vyovyote vile itakuwa ni id ya yule aliyenipa ambaye naweza kusema tulikutana tu kibahati mbaya atukuwa tunafahamiana wala sizani kama nitakuja kukutana naye tena hivyo kwa yeyote fundi anayeweza kunifungulia hii simu awasiliane na mimi.

Nimejaribu mbinu zote ikiwemo ya kudowngrade lakini nimeshindwa naomba msaada fedha ya vocha nitatoa kwa atakaeweza kunisaidia.

Find_my_iPhone_Activation_lock.png
IPhone umepewa na best yako then unasema hamjuani kabisa... Tena huwez kuonana nae... Mbona story za uongo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom