Msaada iPhone 4S haiwaki!

Msaada iPhone 4S haiwaki!

Limbani

JF-Expert Member
Joined
Apr 24, 2008
Posts
1,438
Reaction score
444
Habari ya jioni wakuu, Judi niliiweka kwenye charge simu yangu iPhone 4S na nikalala, after 5 hours nikaamka ikawa very hot na imezima. Kila nikiwasha inagoma mpaka sasa, naomba msaada wa nini cha kufanya au Kama kuna mtaalamu wa kuweza kutatua tatizo hili.

nitashukuru kwa msaada wenu
 
Umeiformat hiyo ukitoa chaji iache kwa mda isipo waka nenda kaformat ndio shida yake


Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
Habari ya jioni wakuu, Judi niliiweka kwenye charge simu yangu iPhone 4S na nikalala, after 5 hours nikaamka ikawa very hot na imezima. Kila nikiwasha inagoma mpaka sasa, naomba msaada wa nini cha kufanya au Kama kuna mtaalamu wa kuweza kutatua tatizo hili.

nitashukuru kwa msaada wenu

Mkuu ili kusaidiwa inabidi ueleze tatizo in details na usi asume kama unayemueleza upo naye anaiona simu
Je ukibonyeza batani ya kuwashia simu nini kinatokea?
Je ukiichomeka kwenye kompyuta itune inaidetect? na nini kinatokea kwenye screen ya simu yako?
 
Mkuu sijaiweka bado kwenye computer, nitafanya hivyo leo asubuhi.

Display button haioneshi chochote, the display is just blank!

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
Habari ya jioni wakuu, Judi niliiweka kwenye charge simu yangu iPhone 4S na nikalala, after 5 hours nikaamka ikawa very hot na imezima. Kila nikiwasha inagoma mpaka sasa, naomba msaada wa nini cha kufanya au Kama kuna mtaalamu wa kuweza kutatua tatizo hili.

nitashukuru kwa msaada wenu

your destiny is here ..::Kariakoo Online Fundi Simu System::.. check na hao jamaa your problem is over
 
tatizo kama ili liliishawahi kunitokea kwenye iphone yangu mimi nilichofanya niliiweka kwenye begi for almost 2 days nikajifanya kama nimeisahau ile najaribu kuwasha ikakubali yenyewee...
 
Imwagie petrol bila Kusahau kiberiti Lolz :A S-fire1:😛izza::A S-fire1::A S-fire1:j
 
tatizo kama ili liliishawahi kunitokea kwenye iphone yangu mimi nilichofanya niliiweka kwenye begi for almost 2 days nikajifanya kama nimeisahau ile najaribu kuwasha ikakubali yenyewee...
This is the only solution, iache pozi Kwa 48hrs kisha I plug Kwenye charge itawaka.. ONYO!!!! USIPELEKE KWA MAFUNDI.. Narudia tena ONYO.. Usipeleke Kwa mafundi .. Ukitaka Kujua zaidi why 2 days ntakueleza.. That is common for I phones 4, 4s, and 5 Kufanya internal restoration
 
Back
Top Bottom