Limbani
JF-Expert Member
- Apr 24, 2008
- 1,438
- 444
Habari ya jioni wakuu, Judi niliiweka kwenye charge simu yangu iPhone 4S na nikalala, after 5 hours nikaamka ikawa very hot na imezima. Kila nikiwasha inagoma mpaka sasa, naomba msaada wa nini cha kufanya au Kama kuna mtaalamu wa kuweza kutatua tatizo hili.
nitashukuru kwa msaada wenu
nitashukuru kwa msaada wenu