wandugu naombeni msaada wa kujua jinsi ya kuactivate 3G internet kwenye sim yangu mpya ya Samsung S4.nikiwa ofisini ndio naweza kuaccess internet maana hapa ofisini kwetu kuna wireless connection.....lakini nikienda nje ya ofisi yaani mitaani nashindwa kabisa kupata internet.
Nenda kwenye setting kama sikosei wireless&network, then activate cellular data. Na labda nikuulize hiyo cm yako ina setting za Internet za mtandao husika? Say voda au tigo,,
wandugu naombeni msaada wa kujua jinsi ya kuactivate 3G internet kwenye sim yangu mpya ya Samsung S4.nikiwa ofisini ndio naweza kuaccess internet maana hapa ofisini kwetu kuna wireless connection.....lakini nikienda nje ya ofisi yaani mitaani nashindwa kabisa kupata internet.
Kwa Nnavyoelewa. Hapo simu either huja. Activate mobile data au hakuna accesspoint kwenye simu yako. Kama vyote vipo na simu haipand 3g bas umeuziwa samsung clone... So in that case ww google how to create access point kama ipo hakikisha imekua checked then check how to activate mobile data.. Google ni msaada mzuri kuliko mm nikianza kuandika kila step hapa
Kwa Nnavyoelewa. Hapo simu either huja. Activate mobile data au hakuna accesspoint kwenye simu yako. Kama vyote vipo na simu haipand 3g bas umeuziwa samsung clone... So in that case ww google how to create access point kama ipo hakikisha imekua checked then check how t activate mobile data.. Google ni msaada mzuri kuliko mm nikianza kuandika kila step hapa
ok wasikuzungushe nenda wiles/network >mobiledata>accenspoint>alaf jaz kwen name andik internet alaf kweny apn pia andika internet iwelain yoyote ya Tanzania yani Togo.zantel.airtel.Vodacom. lazim ifanye kaz km mna bisha kwahili na tak m2 tu bishane hapa
100% work. jk.term
ok wasikuzungushe nenda wiles/network >mobiledata>accenspoint>alaf jaz kwen name andik internet alaf kweny apn pia andika internet iwelain yoyote ya Tanzania yani Togo.zantel.airtel.Vodacom. lazim ifanye kaz km mna bisha kwahili na tak m2 tu bishane hapa
100% work. jk.term