huu ndio ushauri wa mwisho tena bodaboda wa hapo town wako poa kama vipi uwaambie wakulete aika lodge hapa..
ukishuka stand(msamvu) panda daladala ya town,shuka masika then uliza guest house inaitwa ASSA ipo karibu na kona bar karibu na CRDB bank.
Wakubwa Salaam!!
Nimeitwa katika usaili Halmashauri ya wilaya ya Morogoro. Ninaomba msaada kwa anayefahamu ni hotel gani ninaweza kufikia ya bei ya Tsh 15,000/- kwa siku, mambo ya kula nitajua mbele ya safari.
Kama namba ya simu ya hotel hiyo inaweza kupatikana, nitashukuru ikiwekwa hapa ili tuweze kutoa oda ya chumba.
Asanteni
Huku hatufanyi booking we ukishashuka Msamvu, kamata daladala ingia town, uliza top life bar utapata room nzur na misos hapo hapo katikati ya Mji
ukifika town kaka mwambie dereva akupeleke sweet africa ni lodge fln iko poa tu! iko misufini bei 12,000/= fuata ayo maelekezo kaka usisikilize ushaur wa mtu yeyote maana naons kama watu wengi wanakuzingua tu wakati ww uko serious! ukishukia msamvu kwenda uko sweet africa nauli ya pk pk 2000 na ukishukia town nauli 1000! narudia tena ni sweet africa ipo misufin