Msaada: Hizi ni dalili za ujauzito?

Wakuperuzi

JF-Expert Member
Mar 31, 2023
2,077
4,673
Mara ya mwisho kukutana na binti huyu ni siku yake ya kumi toka ameanza kubleed. Je, dalili hizi kwake inaweza kuwa ni ujauzito? chuchu kuuma, mwili kukosa nguvu,kupoteza hamu ya kula pamoja na kichefuchefu
 
Mara ya mwisho kukutana na binti huyu ni siku yake ya kumi toka ameanza kubleed. Je, dalili hizi kwake inaweza kuwa ni ujauzito? chuchu kuuma, mwili kukosa nguvu,kupoteza hamu ya kula pamoja na kichefuchefu
Picha iko wapi tumchunguze vzr au nipe namba yake
 
Mara ya mwisho kukutana na binti huyu ni siku yake ya kumi toka ameanza kubleed. Je, dalili hizi kwake inaweza kuwa ni ujauzito? chuchu kuuma, mwili kukosa nguvu,kupoteza hamu ya kula pamoja na kichefuchefu
Kipimo cha mimba kinauzwa duka la dawa Shilingi 1,000 tu. Nenda kanunue umpime.
 
Mara ya mwisho kukutana na binti huyu ni siku yake ya kumi toka ameanza kubleed. Je, dalili hizi kwake inaweza kuwa ni ujauzito? chuchu kuuma, mwili kukosa nguvu,kupoteza hamu ya kula pamoja na kichefuchefu
Habari,
Ni sehemu ya dalili za mama au dada mjamzito ingawa si specific. ungekuwa unafahamu urefu wa mzunguko/cycle lenght, ungeukaribia sana ukweli wa kinachoendelela.
 
Back
Top Bottom