Msaada hivi udsm kuna faculty ya MD

Msaada hivi udsm kuna faculty ya MD

Samahanini wana zuoni naomba mnisaidie kujua hv UDSM kuna kozi ya udaktari wa binadamu kama ile inayotolewa muhimbili,kama ipo ,ipo kitivo gani
Ipo na intake ya kwanza kabisa ndo wako mwaka wa tatu na kama sikosei sa hv wako Mbeya Field
 
Back
Top Bottom