Msaada hivi udsm kuna faculty ya MD

Msaada hivi udsm kuna faculty ya MD

Waliirudisha 2015 ila mwaka huu hawajaapply waliopo watahamishiwa mologanzira(muhas mpya) wamesema huez somesha madaktar kwenye kelele za sanaa
Mbona unazunguka.sema walisimamishiwa udahili kwa kukosa sifa.....ooooh Mara watahamishiwa..unajua hao walikosasahivi? Watu mjuaga kitu kibaya wanafanyaga udom tu...kama n kuhamishiwa kwanini hawajahamishwa mpaka sasa hivi? Kelele kitu gani? Hivi udsm iliko na muhas kupi kunakelele....
 
Hapo zamani za kale, Muhimbili, Ardhi, Mkwawa na Duce zilikuwa ni 'faculty' katika chuo kikuu cha Dar Es Salaam. Kati ya hizo Ardhi na Muhimbili vikatenganishwa vikawa vinajitegemea ila Mkwawa na Duce zikabaki kuwa University college au branches za UDSM!
Brother hadithi za sungura na fisi.be short and clear,udsm wamesimamishiwa udahili kwa kuwa hawana sifa,wanatakiwa warekebishe ndo wataruhusiwa...oooh Mara hapo zaman,Muhas inajitegemea wala hakuna uhusiano kwa karibu miaka ishirini,sijui unaipamba udsm nini
 
MD ilirudishwa 2015/2016 na pia wakachukua wanafunzi 2016/2017 ila mwaka huu 2017/2018 hawajachukua wanafunzi .
Na wale ambao walikuwepo wamehamishiwa Mbeya wote nasikia kuna chuo hko kimejengwa.
Kwa sasa hivi udsm hamna MD.
Mmmh brother udsm wamejenga lini chuo mbeya
 
Mkuu mbeya watakuwepo kwa muda wa mwaka mmoja tu then nadhani wakiingia mwaka wa 4 watakuwa mloganzila uko mbeya wanafanya mafunzo kwa vitendo.
Toka lini mwaka wa 2 anafanya mafunzo kwa vitendo....hivi unaijua MD program ndugu
 
UDSM haikua na sifa ya kutoa MD

so imefungiwa kudahili wanafunzi ktk coz hiyo.
Udsm huwaga hawapendi kusikia ukweli ndio maana wamejikanyaga sana.Mara mloganzila Mara ziligawanywa,huwaga wanafikiri wao n perfect kila siku
 
Mkuu, hakuna facult ya MD hzo zote ni facult za science so jaribu kurekrbisha kidogo hapo....
 
Toka lini mwaka wa 2 anafanya mafunzo kwa vitendo....hivi unaijua MD program ndugu
Mkuu now ni mwaka wa 3 wanafanya rotation katika hospital(research za magonjwa kama ya watoto.) mwaka mzima watakuwa kule mimi mdogo wangu ndio anasoma na amenambia ivo mkuu.
 
Hivi mloganzila ni campus nyingine ya muhas au ni hospitali ya chuo? maana naona watu wanasema ni chuo..
 
UDSM wanayo MD. Ipo koleji inaitwa Mbeya University College of Health and Allied Sciences (MUCHAS). Imehamia mbeya mwezi wa 11 kutokea Mlimani.
 
Hakuna kitu Faculty ya MD ipo course ya MD ambayo mwaka huu imezuiwa kudahili ila waliokuwa wanaendelea basi wanaendelea, Faculty ni kitivo mfano Faculty of Engineering (FOE) Now ni College of Engineering and Technology (COET), Faculty ni collection of courses kwa jina lingine tunaita College
 
Daah! Jaman
Mbona kona nyiiingii

Semeni tu, Chuo Hakikua na Sifa ya kutoa program ya MD so,
Kilifungiwa kudahili kama vilivyofungiwa vyuo vingine visivyokua na ubora.

Mnazunguuka, Mara college, cjui course, faculty Mara Mbeya yoote hayo ya nini?

Simply tu, chuo hakikua na ubora
 
Mkuu now ni mwaka wa 3 wanafanya rotation katika hospital(research za magonjwa kama ya watoto.) mwaka mzima watakuwa kule mimi mdogo wangu ndio anasoma na amenambia ivo mkuu.
Sina hakika kama wamefika MD3 ila ninachojua mwaka wa pili huwa kuna field inayofanyika mwaka wa pili research,but not clinical training.vyuo vyote Tanzania wanafunzi wakaa darasani kucover theory field kitu cha mwezi mmoja au miwili labda....udsm wanamwaka wa pili hawana wa kwanza maana walifungiwa
 
Nadhani anakizungumzia mzumbe maana ndo wana tawi mbeya
Hawana chuo mbeya.labda tu wamepanga maeneo ili wanafunzi wao wakae jiran na eneo ambalo kuna madactar wa kuazima wawafundishe wanafunzi wao theory.mwaka wa pili s mwaka wa clinical seriously....UDSM walihitaji Muda wa kujipanga
 
Hivi mloganzila ni campus nyingine ya muhas au ni hospitali ya chuo? maana naona watu wanasema ni chuo..
Teaching hospital,particularly wanawalenga masters na super speciality,ndio plan ya Muhas,hawa undergraduate wanabaki kulekule main compass,ila hawa udsm wanajihakikishia kwamba watahamia mloganzira sijui nani akiwaambi
 
Back
Top Bottom