Kituko
JF-Expert Member
- Jan 12, 2009
- 9,555
- 9,330
100%Una hakika na unachokisema
100%Una hakika na unachokisema
Samahani mkuu hicho ni kiganja au unyayo?
Homa ya ini braza ndo balaa tena bora hivIvo vidonge hutumika kutibu Homa ya Ini bhana..
Wasikutishe bhana..
Pole kwa mtumiaji ila kwa mleta mada haina adhari..Homa ya ini braza ndo balaa tena bora hiv
Uyo kajichaganya side effect pia ya HIV inakuja na homa ya inni, nawengi wanao tumia arv maranyingi pia ini uwa linawasumbua!!!Kwaio arv zinatibu magonjwa mawil tafauti
kwani hiyo homa ya ini ni jambo dogo mkuu?Sio kila anaemeza arv ni muathira wengine wanakua na homa ya inn wanapewa pia arvs so kua na amani
Naomba majibu yasiwe hayo naweza anguka kwa presha
Nacheka tu lkn si mazuriToba yailah
Ni jambo kubwa pia boss lakini tumezoea kuona kama hiv ni tatizo kubwa zaidi ya matatizo yotekwani hiyo homa ya ini ni jambo dogo mkuu?
Sahihi kabisaToba yailah
Asante mkuuHizo ni ARV but don't panic kapime kwanza
OkNdioo
Hivi homa ya inni inapona?Wenye hepatitis nao humeza arv pia..
Sio wote wana vvu.
Ni vizuri kwenda pia kucheki afya yako dia PRINCE PRIS.
Upo sawa kabsa boss bado mbadara wa arv haujapatkana hasa TLE lakini jamaa asikate tamaaFinyango,
Some inaonekana wanapona wakimeza izo arv kwa miezi sita hadi mwaka.
Ila wengine haipotei hata wakiangaliwa baada ya huo muda.
Dawa halisi haijapatikana bado kitabibu.