Mr Q
JF-Expert Member
- Aug 16, 2012
- 16,133
- 33,452
mmmmhhhhhh!!!!!kama umepekua pochi ya mpenzi wako ukakuta hizo vidonge na kama wewe huwa hutumii kinga bhas ni vema kuanza kula matunda kwa wingi, fanya mazoez kias,pumzisha mwili wako, epuka ngono bila kinga, mboga za majan tumia kwa sana, epuka kuwa na msongo wa mawazo nk... itasaidia kuongeza salio lako la miaka ya kuwa dunian mkuu