Msaada: Hivi ni vidonge gani?

Msaada: Hivi ni vidonge gani?

First of all... Don't panic Mr........ Viangalie Vizuriiiii.... Zen Kama ukikuta ni vya Aina mbil tofauti ila vyafanana Mwonekano wa maumbo yaweza Kuwa vyenyew vya HIV positive.... Hapo pia ucpanik..... Mana kutembea na mtu Mwenye HIV c Kuwa naww ndo Umepata. My take Nenda angaza pata ushauri zen pima huwez Jua Mungu anataka akuepushe Vp.... Cha msingi don't panic
Asante mkuu
 
kama umepekua pochi ya mpenzi wako ukakuta hizo vidonge na kama wewe huwa hutumii kinga bhas ni vema kuanza kula matunda kwa wingi, fanya mazoez kias,pumzisha mwili wako, epuka ngono bila kinga, mboga za majan tumia kwa sana, epuka kuwa na msongo wa mawazo nk... itasaidia kuongeza salio lako la miaka ya kuwa dunian mkuu


Wewe utaua mtu!
 
kama umepekua pochi ya mpenzi wako ukakuta hizo vidonge na kama wewe huwa hutumii kinga bhas ni vema kuanza kula matunda kwa wingi, fanya mazoez kias,pumzisha mwili wako, epuka ngono bila kinga, mboga za majan tumia kwa sana, epuka kuwa na msongo wa mawazo nk... itasaidia kuongeza salio lako la miaka ya kuwa dunian mkuu
Duuuuuuh
 
3fb0d500a111c6ec4b55024cc6ac5c39.jpg


db1f67568e0ac88c83a57d9093b173bb.jpg


f9b5ddfc4f53e7e3863f5647cdcd614f.jpg

Samahani mkuu hicho ni kiganja au unyayo?
 
Kuna mtu aliwah kuuliza swali hili hili kama lako na majibu ilikuwa arv

Kuna watu wako busy kugeuzageuza thread, akiona thread ime trend sana naye anatafuta muda wa kuirudisha thread kwa mgongo wa nyuma, sijui huwa wanafaidika nini?
 
Kuna watu wako busy kugeuzageuza thread, akiona thread ime trend sana naye anatafuta muda wa kuirudisha thread kwa mgongo wa nyuma, sijui huwa wanafaidika nini?
Una hakika na unachokisema
 
Back
Top Bottom