georgeallen
JF-Expert Member
- Jun 3, 2011
- 4,118
- 1,867
Nimepata ujumbe (Email) kwenye computer yangu ambao baada ya kuufungua na kuusoma niligundua ni Spam. Hii siyo shida. Tatizo ni kwamba nilipokuja kufungua tena email yangu baadae, nilikutana na ujumbe (replies) kwamba ujumbe niliopeleka kwa e.g. john@yahoo.com haukuweza kupelekwa wakati mimi ujumbe ule sikumpelekea mtu yoyote. Kwa hiyo watu wote nilio na-address zao wote wamepata na wanaendelea kupata ujumbe huo. Nifanyeje kukomesha hii kitu maana kila aliyepata huu ujumbe anasema nawasumbua?.