okiwira
JF-Expert Member
- Jul 23, 2018
- 2,787
- 2,856
Hi hali ya kukaa muda mrefu bila kupata hedhi husababishwa na nini?
Yaani mfano mwanamke umezaa mtoto baadae unakuja pata hedhi baada ya miaka miwili ukizaa tena kuja kupata hedhi inakuchukua baada ya miaka au mwaka.
Hapa chanzo cha tatizo hili huwa ni nini?
Au ni jambo la kawaida kwa baadhi ya wanawake?
Yaani mfano mwanamke umezaa mtoto baadae unakuja pata hedhi baada ya miaka miwili ukizaa tena kuja kupata hedhi inakuchukua baada ya miaka au mwaka.
Hapa chanzo cha tatizo hili huwa ni nini?
Au ni jambo la kawaida kwa baadhi ya wanawake?