Wadau nlichaguliwa chuo mwaka Jana na nikapewa mkopo,lakin kwa bahat mbaya chuo skuenda coz nlipata matatizo, mwaka hu nmefanya application ya chuo na mkopo upya ,
ivi wanaweza kunipa mkopo, ushaur wadau tafadhar
Poa poa mdau nmekusomayeah utapata....kama jina lako halitatoka inabd uende bodi ukawaelezee situation.....m pia nlipata the same situation nikaenda bodi na baadae nikapata mkopo....xo ukipata chuo nenda bodi mapema
Wadau nlichaguliwa chuo mwaka Jana na nikapewa mkopo,lakin kwa bahat mbaya chuo skuenda coz nlipata matatizo, mwaka hu nmefanya application ya chuo na mkopo upya ,
ivi wanaweza kunipa mkopo, ushaur wadau tafadhar
hupati ww.mkopo coz hukutoa taarfa bodi
jamani wakuu eti mkopo kwa mtu wa medicine 100% ni tsh ngapi!?
yeah utapata....kama jina lako halitatoka inabd uende bodi ukawaelezee situation.....m pia nlipata the same situation nikaenda bodi na baadae nikapata mkopo....xo ukipata chuo nenda bodi mapema
Wadau nlichaguliwa chuo mwaka Jana na nikapewa mkopo,lakin kwa bahat mbaya chuo skuenda coz nlipata matatizo, mwaka hu nmefanya application ya chuo na mkopo upya ,
ivi wanaweza kunipa mkopo, ushaur wadau tafadhar