Msaada haraka: mtoto analia siku nzima

Mtoto hashibi na km anashiba basi humcheulishi vya kutosha!
Hakikisha mtoto akimaliza kunyonya anacheua vya kutosha

Mlaze kwa tumbo km uko karibu muda wote,pia jitahid kumkanda tumbo kwa mikono yako taratibu hii itasaidia mno!

pole na hongera kwa kujaaliwa mtoto, Mungu awatunze
 
jaman wataalam nisaidieni mtoto wangu anawiki mbili lkn analia sana ananyonya kidogo anaendelea kulia, pia anakula vidole nisaidieni wengine wanasema maziwa ya mama labda mepesi hashibi sielewi huyu ni mwanetu wa kwanza plz niasaidieni
1. Hashibi hio naguarantee
2. Kumbuka 1
3. Hakikisha/fanya juu chini ashibe. Nadhani unajua namna
 
Lingine nilisahau ni mtoto kuwa colic yaani anakuwa na hewa tumboni na inamuumiza, akinywa maziwa ni kama anashindilia. Hii ni kawaida watoto wengine hutokewa sana na wengine haiwapati sana.

Ila usababisha wao kulia sana pia, kuna hii lazima akimaliza kunywa maziwa halazwi ili hadi hewa itoke kwa kumrub mgongoni ukimweka begani ni vizuri pia. Na akilia kujaribu hivyo hivyo.

Ila ningeshauri kama unaweza kumwona daktari wa watoto au midwife waeaondolee hofu na kuwafundisha zaidi juu ya mtoto.

Ni mimi na ujuzi huu wa kukua na kuona ya ndugu zangu wengi wa kike wanayofanya na kutueleza.
 
  • Thanks
Reactions: SMU
Hapana... me mwanaume mkuu, kuna mwanamke tyar nshamjaza kitambo thus soon nataraj kua n mtoto wa kiume kam mwenyez mungu atajaalia... Hvyo kushukuru kwangu kwa mawazo yanayotolewa humu jf kulingana n mada husika, kutanifanya nimtoe wasi mama wa mwanangu pindi n yy kam kuna lolote litamkuta hususan swala kam hili kwa mfano.... Upo?
 
Hapana... me mwanaume mkuu, kuna mwanamke tyar nshamjaza kitambo thus soon nataraj kua n mtoto wa kiume kam mwenyez mungu atajaalia... Hvyo kushukuru kwangu kwa mawazo yanayotolewa humu jf kulingana n mada husika, kutanifanya nimtoe wasi mama wa mwanangu pindi n yy kam kuna lolote litamkuta hususan swala kam hili kwa mfano.... Upo?
 
Hapana... me mwanaume mkuu, kuna mwanamke tyar nshamjaza kitambo thus soon nataraj kua n mtoto wa kiume kam mwenyez mungu atajaalia... Hvyo kushukuru kwangu kwa mawazo yanayotolewa humu jf kulingana n mada husika, kutanifanya nimtoe wasi mama wa mwanangu pindi n yy kam kuna lolote litamkuta hususan swala kam hili kwa mfano.... Upo?
 
Unamalizia lohhh! kwani we shori?
Me mwanaume, nimeshukuru kwa7b soon nataraj pata the new born son, inshaallah mwenyez akijaalia... Thus changamoto kam hizi ikitokea zikamtokea mama wa mwanangu... Ntakua cna budi kumwelewesha ili kumtoa wasi, upo mkuu?
 
Unamalizia lohhh! kwani we shori?
Me mwanaume, nimeshukuru kwa7b soon nataraj pata the new born son, inshaallah mwenyez akijaalia... Thus changamoto kam hizi ikitokea zikamtokea mama wa mwanangu... Ntakua cna budi kumwelewesha ili kumtoa wasi, upo mkuu?
 
jaman wataalam nisaidieni mtoto wangu anawiki mbili lkn analia sana ananyonya kidogo anaendelea kulia, pia anakula vidole nisaidieni wengine wanasema maziwa ya mama labda mepesi hashibi sielewi huyu ni mwanetu wa kwanza plz niasaidieni
Ni kawaida na inaweza kukupeleka hadi miezi miwili. Mtoto ndo anaanza kubadili mazingira kutoka tumboni mwa mama na anaanza haya yetu tunayokimbizana na akina "bashite". Mwambie Mama mtoto asiwe mvivu kunyonyesha (ujue mtoto anapotulia kunyonya anaweza kunyonya usiku kucha au mchana kutwa endapo usiku mmekesha). Mama mtoto ale vyakula vinavyochochea ongezeko la maziwa. Uliza "wakubwa" hapo ulipo vingine ni vyakula vya asili kama mbegu za maboga, ukisagia kwenye mboga hasa nyama ya ng'ombe ya kubanika ni balaa. Mtoto atashiba kinoma yaani. Ni vema akimaliza kunyonya uwe unahakikisha anabeua kwa kumweka begani uso wake akitazama vice versa na wewe/mama. Ni vema akitulia na akibahatisha usingizi alazwe kifudifudi huku shingo limegeuzwa kidogo kulia au kushoto ili apumue vizuri. Sishauri atumie mafuta ya samaki au grip water kwa umri huo ila ikilazimu basi mpe kidogo. Otherwise ndo ukubwa huo. Kulea mimba si kazi, kazi kulea mwana.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom