Msaada hapa wapendwa; Ananipa kila kitu lakini ana kibamia

Money Penny

JF-Expert Member
Jun 20, 2016
15,920
14,819
Naombeni misaada yenu hapa kuna kesi ya kusolviwa haraka haraka, watu wapo juu ya mawe wanaliaaa

NAZI MTARONI:
Yani Money Penny hapa ninashida ya milele
Kuna kibopa nilikutanaga nacho TRA hapo naenda kupeleka risiti za malipo ya kampuni nayofanya kazi
Kibopa sijui ndio ufisi akanitamani au akanipenda anajua mwenyewe.

Kaniomba no yangu nikamkazia, akanifuatilia mpaka kanipata. Akanipandia hewani me sijui hili wala lile nikamsikiliza mpaka mwisho
Nikamwambia hautaniweza bruh! Me mtoto wa kishua (hapo namdanganya kumbe me mtoto wa temeke)

Oh ntakuweza na nini, nikamwambia sawa nataka kuona show zako kabla ya uzinduzi. Kukata simu mil 1 hiyo tigo pesa ndani ya siku 5 nina mil 5, kila siku zinarushwa tu kama DJ khalid alivyokuwa anamrushia demu wake

Weekend natumiwa tena nikaona sasa hapa labda penyewe. Tukakutana Sea Cliff mjeda mzuuuriii mreeeefu, tukala lunch skunyingine dinner skunyingine beach party, skunyingine white party, nikadondoka Zari Party ya mwaka juzi ile 2014 kama sio 2015 mjeda analipa kila kitu me kwetu temeke hapoo

Basi kwa zile show nyingi zaki volcano, nikapandisha manyanga next level
Yeleuuuwi kufika Kunduchi Beach Hotel, me nishakolea Tipsy sio kitoto, kufungua bonet ya mbele mamamamamamamamamamamams anajisemeaga mbwiga wa clouds fm mamamamamamamama, mbwiga niaaaaajeee nikadhania nimeona vbaya labda zile pombe

Nikaenda kunawa uso, nikakaa kwenye choo mjeda anaita honney njoo buana nakusubiri kurudi, kha! KIBAMIA CLASSIC BABY
Nikijiangalia me mwenyewe nina mzigo balaa ni sawa na kumwaga chumvi baharini

Sasa kwasababu yule bwana keshanisherehesha ikabidi nikubali, kwenye kuandaa demu na mambo ya romance ni noumer lakini kwenye mechi buanaaa ni sheeedah!

Yani ikabidi tu niwe najiliza akojoe fasta tulale maana ananikera tu na kunichosha, hakukuchi wala nini mwenyewe anaona siiiifaaa! Kila saa anataka turudiane. Huu mwaka wa 3 nipo nae lakini sufuriii yani basi tu

Mjeda ananipenda mbayaaa, afu ana mawe hatari, Mengi atasubiri miaka 1000 kumfikia!

Money Penny nisaidie nafanyaje?! Maisha yangu kayabadilisha yeye sasa hivi nimepangiwa appartments oysterbay kwa mwezi dola 1000, lakini raha alioiweka Mungu siipati kabisaaa,

Mungu fundi sawa lakini wengine nahisi amewaoneaaa. Hapa nilipo nimewekewa mpaka body guard ananilinda usiku na mchana, gadame, ku cheat nahisi hakunaga!

Simu nimekuwa Tracked zoteee mazungumzo na watu labda kama hivi nimeonana na wewe tunaongea nje ya nyumba, CCTV kamera kibaaaao yani ni kerooo

Kazi nimeachishwa nimefunguliwa biashara ila kusema kweli Mungu jaman hapa amenionea sina rahaaa bora ningekuwa bikra basi lakini siooo nakumbukaje sasa mijeda yangu yenye madusheee?!
Ndoorooboooee

Jamani msaada tunaomba msaidieni Nazi Tutani
Maana hii kesi ya Mungu Muumba me imenishindaaaaa!
 
Ohooooo!! Afadhari sipo pekee yangu kwenye hilo janga.
Yaani nina ka dushe kadogoo kama pingili la kidole cha mwisho. Muda mwingine hua nikiangalia miguu yangu kwa bahati mbaya hua nashituka haaaaaa!!! Dushe langu limefikaje miguuni kumbe ni kakidole ka mwisho..

Kama unakerwa na hili tatizo gonga like hapa ili kunifariji maana sijawahi kukata utepe bado nina mabeseni ya uji kiunoni
 
Kiru, je ingekuwa wewe ungefanya hivyo?! Ungerudi temeke?!


Kabsaa


Yeleuuuwi angekuwa dadako ungemwambia ivyo?!
yy si anataka hogo kibamia hakimtoshi mwambie atafute mwenye hogo akishamfikisha kwenye kilele anachotaka huku kibopa anajua kila kitu jiandaeni kumpokea temeke
 
Kha!
Sasa jamani hizi kesi za nyani mnaniletea mimi si mnanionea jamaaa


Mnataka nikamatwe au?! Dah! Aya buana naombeni misaada yenu hapa kuna kesi ya kusolviwa haraka haraka, watu wapo juu ya mawe wanaliaaa

[HASHTAG]#TEAM[/HASHTAG] KIBAMIA


NAZI MTARONI:
Yani Money Penny hapa ninashida ya milele
Kuna kibopa nilikutanaga nacho TRA hapo naenda kupeleka risiti za malipo ya kampuni nayofanya kazi
Kibopa sijui ndio ufisi akanitamani au akanipenda anajua mwenyewe. Kaniomba no yangu nikamkazia, akanifuatilia mpaka kanipata
Akanipandia hewani me sijui hili wala lile nikamsikiliza mpaka mwisho
Nikamwambia hautaniweza bruh! Me mtoto wa kishua (hapo namdanganya kumbe me mtoto wa temeke)
Oh ntakuweza na nini, nikamwambia sawa nataka kuona show zako kabla ya uzinduzi
Kukata simu mil 1 hiyo tigo pesa ndani ya siku 5 nina mil 5, kila siku zinarushwa tu kama DJ khalid alivyokuwa anamrushia demu wake
Weekend natumiwa tena nikaona sasa hapa labda penyewe
Tukakutana Sea Cliff mjeda mzuuuriii mreeeefu, tukala lunch skunyingine dinner skunyingine beach party, skunyingine white party, nikadondoka Zari Party ya mwaka juzi ile 2014 kama sio 2015 mjeda analipa kila kitu me kwetu temeke hapoo
Basi kwa zile show nyingi zaki volcano, nikapandisha manyanga next level
Yeleuuuwi kufika Kunduchi Beach Hotel, me nishakolea Tipsy sio kitoto, kufungua bonet ya mbele mamamamamamamamamamamams anajisemeaga mbwiga wa clouds fm mamamamamamamama, mbwiga niaaaaajeee nikadhania nimeona vbaya labda zile pombe

Nikaenda kunawa uso, nikakaa kwenye choo mjeda anaita honney njoo buana nakusubiri kurudi, kha! KIBAMIA CLASSIC BABY

Nikijiangalia me mwenyewe nina mzigo balaa ni sawa na kumwaga chumvi baharini

Sasa kwasababu yule bwana keshanisherehesha ikabidi nikubali, kwenye kuandaa demu na mambo ya romance ni noumer lakini kwenye mechi buanaaa ni sheeedah!

Yani ikabidi tu niwe najiliza akojoe fasta tulale maana ananikera tu na kunichosha, hakukuchi wala nini mwenyewe anaona siiiifaaa! Kila saa anataka turudiane
Huu mwaka wa 3 nipo nae lakini sufuriii yani basi tu

Mjeda ananipenda mbayaaa, afu ana mawe hatari, Mengi atasubiri miaka 1000 kumfikia!

Money Penny nisaidie nafanyaje?! Maisha yangu kayabadilisha yeye sasa hivi nimepangiwa appartments oysterbay kwa mwezi dola 1000, lakini raha alioiweka Mungu siipati kabisaaa, Mungu fundi sawa lakini wengine nahisi amewaoneaaa
Hapa nilipo nimewekewa mpaka body guard ananilinda usiku na mchana, gadame, ku cheat nahisi hakunaga!

Simu nimekuwa Tracked zoteee mazungumzo na watu labda kama hivi nimeonana na wewe tunaongea nje ya nyumba, CCTV kamera kibaaaao yani ni kerooo
Kazi nimeachishwa nimefunguliwa biashara ila kusema kweli Mungu jaman hapa amenionea sina rahaaa bora ningekuwa bikra basi lakini siooo nakumbukaje sasa mijeda yangu yenye madusheee?!
Ndoorooboooee

Jamani msaada tunaomba msaidieni Nazi Tutani
Maana hii kesi ya Mungu Muumba me imenishindaaaaa!
Unajua nyie wanawake hamridhiki ukipata mwenye hela utasema anakibamia na hanifikishi,ukipata mwenye hogo utasema ananifikisha lakini hana pesa.This is the world of choice.Chagua 1 kati ya kusuka au kunyoa km huwezi basi upande m1 suka na upande mwingne nyoa.
Ila tamaa mbaya
 
angekuwa anadushe la maana na hana pesa anakupiga dushe uku unapauka tu ungekuja pia tukushauri nyie wanawake nyie mpewe kila kitu uku mnatak haki sawa wanaume kazi tunayo tena sio ya kitoto
Ndo mana tukaambiwa tuishi nao kwa akili mkuu,wana matatizo binafsi,ila itabidi tuchukuliane nao tu mana ndo mama zetu,dada zetu na wake zetu humo humo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom