Msaada: GPS Car Tracking kwa Dodoma

Msaada: GPS Car Tracking kwa Dodoma

LOGORIDDIM

JF-Expert Member
Joined
Jan 25, 2013
Posts
1,622
Reaction score
1,196
Habari. Kama kichwa cha habari kinavyojieleza. Nataka kujua wanapotoa huduma hii Dodoma. Kwa yeyote mwenye ufahamu juu ya hili anisaidie tafadhali

Natanguliza shukran zangu
 
Habari boss tunafunga tupo dar ila kwa dodoma pia tutakufikia gharama zetu ni tsh 300,000 utalipia maramoja tu.
 
Ukishaiwasha ina connect na redio ya gari,then inakuonyesha ramani ya eneo ulipo,unachagua eneo unalotaka kwenda,itakuonyesha njia yote,then inaanza kukupa instruction kwa sauti kupitia speaker za gari kila hatua mapka unafika...
Tumia akili dogo.
Hapa wadau wanaongelea GPS Car Tracking. Yani kutrack gari endapo limeibiwa, au linaendeshwa na dereva mwingine.
Hawazungumzii GPS Navigation.
 
Habari. Kama kichwa cha habari kinavyojieleza. Nataka kujua wanapotoa huduma hii Dodoma. Kwa yeyote mwenye ufahamu juu ya hili anisaidie tafadhali

Natanguliza shukran zangu
Vipi umeshapata kifaa cha GPS tracking?. karibu ISECURE TECHNOLOGY tukuhudumie. Tuko dar es salaam , lakini Dodoma kuna fundi wetu hapo +255 710 141 917
 
Vipi umeshapata kifaa cha GPS tracking?. karibu ISECURE TECHNOLOGY tukuhudumie. Tuko dar es salaam , lakini Dodoma kuna fundi wetu hapo +255 710 141 917
Gharama zenu zikoje?
 
Back
Top Bottom