Kabelwa
JF-Expert Member
- Mar 19, 2015
- 655
- 164
Wadau kuna jamaa yangu ana simu tecno k7 Ila alisahau patten,gmail aliyosajilia awali na hata namba ya simu maana laini yake ilipotea akasajili mpya na mbaya zaidi alimpa MTU akamfanyia head reset sasa kazi inakuja kwenye kuingiza hiyo email ili simu iweze kufunguka,aliniomba msaada na Mimi si mtaalamu wa haya mambo,tunaomba msaada kwenu wadau.