JOHN KAPESULA
Member
- Oct 12, 2010
- 10
- 3
Kuna aina mbili za mashine ya kukamaua alizeti nimezipenda natamani niagize moja wapo toka china ndogo ni USD 1,410 na kubwa ni USD 3,280 mpaka inafika bandari yetu ya dar, hofu yangu ni kumudu gharama za kukomboa bandarini, kwa anaye fahamu anisaidie ufafanuzi wapo wanasema ushuru umeondolewa je ni kweli yaani ikifika naichukua free of charge? na je kuna makampuni ya kitapeli? na jinsi gani ya kuwakwepa?