Pain killer
JF-Expert Member
- Aug 15, 2017
- 14,360
- 21,713
Mpaka hapa elimu ya mtaani imeshakushinda.... Iyooo koziii inamsotooo mtaani sijawahi onaa,,,, kama wew huna connection unamaliza chuo unaenda kijijin kaz unayooo.....bro kaamua kwenda jesh.... Kisa kufuata mkumbo wa kusoma iyo Koz doroo tupuu mtaaniLakini mkuu hii inalipa vizuri kama kozi nyingine za engineering au ndo pesa za msimu na kubahatisha bahatisha...????![]()
Sent from my itel it1403+ using JamiiForums mobile app