Msaada: Galaxy S5 Original Tumebadilishiwa na Fake...!

Msaada: Galaxy S5 Original Tumebadilishiwa na Fake...!

Hio soc Ina 3g hivyo simu yako pia inayo 3g jaribu ushauri WA shiny-c hapo juu kama utaweza kui enable

Mkuu shiny c na Chief-Mkwawa nimejaribu ku-download hizo mtk engineering apps nika-touch hapo kwenye Network selecting...

Screenshot_2010-01-01-11-36-33.png


Ikaniletea kitu kama hiki hapa chini, ambapo niki-touch hapo hakifunguki wala hakitokei chochote wakuu...

Screenshot_2010-01-01-11-58-47.png


Then nikatafuta app nyingine ambapo ikaniletea hiki kitu hapa chini...

Screenshot_2010-01-01-12-03-06.png


Ambapo niki-touch hapo kwenye WCDMA Only inarudi tu na kuwa GSM Only kama inavyoonesha hapo chini kabisa kwenye picha ya mwisho kwenye ki-arrow, sasa kuna alternative nyingine ya kupata 3G wakuu...?.

Natanguliza shukran kwenu.


nenda play store download mtk engeneering then ingia option ya mediatek then nenda network selection weka iwe wcdma au 3g only, ushauri wa kupata hio og yenu mwambie huyo ndugu arudishe simu yenye imei(*#06#) sawa na zile zilizoandikwa kwenye box/risiti
 
Last edited by a moderator:
Mkuu shiny c na Chief-Mkwawa mrejesho huo hapo ningependa kuskia kutoka kwenu wakuu.

Thanks a lot.
 
Last edited by a moderator:
Nashkuru kwa kauli zenu wakuu, ila labda mfaham kitu kimoja kuwa Bi Mkubwa yupo Upanga mi nipo Kinyerezi, na pili wakati amerudi hakuniambia suala hilo kuwa ana simu anataka kufanya configuration settings sidhani kama ningeweza kuota au sijui ningejuaje labda kama ingekuwa ni nyinyi. By the time jamaa anapewa simu mimi sina taarifa kama Bi Mkubwa alikuja na nini toka safari yake ilipaswa aniambie kuwa kuna kitu flani nahitaji kufanya jambo flani ili niweze kukitumia ila hakunijuza ingekuwa nyinyi mngefanyaje wakuu au mngejuaje labda...?.

Mi nimekuja kujua na kuiona simu juzi wakuu kosa langu liko wapi hapo ilhali sikuambiwa kuwa kuna simu inatakiwa kufanyiwa vitu kadha wa kadha wadau...?.

Ila najua binadam tunatofautiana kwa UTASHI na pia ningependa tu kuwashauri kuwa msipende kumnyooshea mtu kidole kimoja wakati kuna vidole vinne vinaangalia kwako, mngeuliza kwanza kabla ya kuanza kuongea kauli ambazo mmeziongea.

By the way, nawashkuru sana.
Kumbe hata ukaribu wako na Airport hapo Kinyerezi hukwenda kumpokea Bi Mkubwa..Its very ashamed, ungeenda airport kumpokea ungejua kila kitu, yaani mama anatoka safari ya mbali huko mashariki ya mbali we unashindwa kumpokea,....very shame...anyway, mpe pole BiMkubwa kapoteza zaidi ya mil 1 hapo....
 
Kumbe hata ukaribu wako na Airport hapo Kinyerezi hukwenda kumpokea Bi Mkubwa..Its very ashamed, ungeenda airport kumpokea ungejua kila kitu, yaani mama anatoka safari ya mbali huko mashariki ya mbali we unashindwa kumpokea,....very shame...anyway, mpe pole BiMkubwa kapoteza zaidi ya mil 1 hapo....

Mkuu, sjui kama unafkiri kwa kutumia kitu gani coz nimetoka kukuelewesha hapo juu tu kuwa hajaniambia kuwa amekuja na kitu gani wala kitu gani.

Na pia nilikusihi usipende kuhukumu pasina kuuliza kwanza airport nilikuwepo mkuu ila kuhusu tena kuanza kuuliza MAMA umenunua nini na nini mkuu ni kweli...?. Yani sidhani kama inaingia akilini kuanza kuuliza mtu hapo airport kuwa MAMA umekuja na nini na nini kwa kweli kwangu mi siwezi labda kama ni wewe sawa mkuu coz watu hatufanani. Ila japo si desturi nzuri lakini pia hutegemea na malezi ambayo umelelewa na umri pia unaweza kuwa unachangia kuanza kuuliza MAMA umekuja na nini na nini kwa kweli.

Anyway, nashkuru kwa yote ndugu.
 
Atakuja kukujibu jamaa maana ye ndiye alierecomend


Ooh okay, nashkuru mkuu kwa ushirikiano MUNGU akulipe kwa moyo huo na akuzidishie pia knowledge zaid na zaid kiongozi.

Thanks again & again mkuu.
 
Uckute mleta uzi yamemkuta mwenyewe, kalizwa na wajanja wa kariakoo alafu anavunga eti bi mkubwa
 
Mwambie mama aendelee kutumia tochi hizo tachi sijui wasapu umri umeenda ni anasa za dunia Allah alishakataza.
 
Mkuu KIOO kwanini msimbane awarudishie simu yenu????
 
Last edited by a moderator:
Uckute mleta uzi yamemkuta mwenyewe, kalizwa na wajanja wa kariakoo alafu anavunga eti bi mkubwa
ingekua simu ya bi mkubwa ungeshavunga usingekomaa ungebaki kusema ningejua ila coz ni ya kwako ndio maana unakomaa uswaze bado hiyo copy inafaa kuoshea usiogope kabisa nikutoe tu wasiwasi
 
Mwambie mama aendelee kutumia tochi hizo tachi sijui wasapu umri umeenda ni anasa za dunia Allah alishakataza.


Mkuu, neno karo linaweza kutafsiriwa kama ada ya shule lakini kwako unaweza ukatafsiri kuwa ni shimo la choo, ni vile utakavyotafsiri wewe tofauti na mwengine atakavyotafsiri ndugu.

Wewe ukiitumia kwa anasa si kila mtu atatumia simu kwa ajili ya anasa mkuu, kuna mambo mengi ya kujifunza kupitia hizi android phones, kuna mambo ya dini mtu anaweza akajifunza, kuna ndugu wapo abroad mtu anaweza akawasiliana nao kupitia whatsapp na mutandao mingine, kna video calls and so on.

Msipende kuongea mambo bila ya kufkiri kwa kina wandugu.
 
ingekua simu ya bi mkubwa ungeshavunga usingekomaa ungebaki kusema ningejua ila coz ni ya kwako ndio maana unakomaa uswaze bado hiyo copy inafaa kuoshea usiogope kabisa nikutoe tu wasiwasi

Mkuu KIOO kwanini msimbane awarudishie simu yenu????


Hebu acheni kufkiri kwa kutumia makalio jamani kama hamna cha ku-comment hebu piteni HIVI sio.

hahaha hata mi nimewaza hivyo
hivyo aisee


Mkuu Upepo wa Pesa am so sorry aisee kwa kuku-quote ndugu yangu hivi vijamaa vinazingua tu mkuu ili mradi nao waonekane wame-comment kiongozi.

Am sorry again mkuu.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom