KIOO
JF-Expert Member
- Mar 3, 2013
- 6,249
- 5,933
Habari zenu wakuu.
Hope mko salama kabisa, kuna mjanja mmoja kamuingiza mjini Bi Mkubwa wadau na ilikuwa kama ifuatavyo.
Bi Mkubwa alinunua Original Galaxy S5 akiwa MAKKAH na kurudi nayo ikiwa okay kabisa, sasa ilimshinda kufanya configuration na vitu kama playstore, whatsapp ikawa hapati and so on.
Akatokea mjanja mmoja ni katika ndugu yetu pia na kumwambia hii inabidi iflashiwe iweze kutumia net za mitandao ya hapa Tanzania ndo utaweza kutumia whatsapp n.k
Jamaa akapewa simu kwenda kui-flash kumbe akaenda kubadilisha kwa clone akamletea fake S5 na box lile lile na back cover ileile na kumpa sound kuwa fundi wake hayupo atam-check siku nyingine.
Bi Mkubwa ikabidi aitulize tu ndani coz alikuwa anatumia simu nyingine, zikapita siku kadhaa akaamua aende kwa mawakala wa samsung kuirekebisha, jamaa kui-check tu wakamwambia hii mbona sio original mama sisi tunatengeneza original tu.
Akaamua arudi home aiweke ndani tu, hivi jana nimeichukua kuiangalia wakuu dah, nimeiwasha tu nakutana na MEDIATEK ndio welcome note halaf ikaja android nikasema hapa kumebaki manyoya tu ndege keshaliwa.
Mbaya zaidi internet iko EDGE peke yake, nimejaribu kufanya configuration settings lakini wapi na cha ajabu kila nikiweka WCDMA inakataa na inarudi kwenye GSM only.
Nimejaribu ku-check kwenye settings labda nifanye factory reset hakuna hiyo option ya factory reset. Nikasema nifanye hard reset wakuu nikakutana na maandishi ya kichina tupu nikawa sina jinsi wadau ni MEDIATEK.
Naombeni msaada tu atleast ikae kwenye WCDMA/3G tu na kama ntaweza kubadili hiyo mediatek firmware au hayo maandishi ya kichina au whatever wakuu mi sio mtaalam kihivyo naombeni msaada nianzie wapi niweze kupata net au kuiflash tuone kama itakubali internet wakuu. Messages and calls zinakubali kama kawaida ila net wakuu hamna page inayofunguka wadau.
Natanguliza shukran wakuu.
THANKS A LOT.
Hope mko salama kabisa, kuna mjanja mmoja kamuingiza mjini Bi Mkubwa wadau na ilikuwa kama ifuatavyo.
Bi Mkubwa alinunua Original Galaxy S5 akiwa MAKKAH na kurudi nayo ikiwa okay kabisa, sasa ilimshinda kufanya configuration na vitu kama playstore, whatsapp ikawa hapati and so on.
Akatokea mjanja mmoja ni katika ndugu yetu pia na kumwambia hii inabidi iflashiwe iweze kutumia net za mitandao ya hapa Tanzania ndo utaweza kutumia whatsapp n.k
Jamaa akapewa simu kwenda kui-flash kumbe akaenda kubadilisha kwa clone akamletea fake S5 na box lile lile na back cover ileile na kumpa sound kuwa fundi wake hayupo atam-check siku nyingine.
Bi Mkubwa ikabidi aitulize tu ndani coz alikuwa anatumia simu nyingine, zikapita siku kadhaa akaamua aende kwa mawakala wa samsung kuirekebisha, jamaa kui-check tu wakamwambia hii mbona sio original mama sisi tunatengeneza original tu.
Akaamua arudi home aiweke ndani tu, hivi jana nimeichukua kuiangalia wakuu dah, nimeiwasha tu nakutana na MEDIATEK ndio welcome note halaf ikaja android nikasema hapa kumebaki manyoya tu ndege keshaliwa.
Mbaya zaidi internet iko EDGE peke yake, nimejaribu kufanya configuration settings lakini wapi na cha ajabu kila nikiweka WCDMA inakataa na inarudi kwenye GSM only.
Nimejaribu ku-check kwenye settings labda nifanye factory reset hakuna hiyo option ya factory reset. Nikasema nifanye hard reset wakuu nikakutana na maandishi ya kichina tupu nikawa sina jinsi wadau ni MEDIATEK.
Naombeni msaada tu atleast ikae kwenye WCDMA/3G tu na kama ntaweza kubadili hiyo mediatek firmware au hayo maandishi ya kichina au whatever wakuu mi sio mtaalam kihivyo naombeni msaada nianzie wapi niweze kupata net au kuiflash tuone kama itakubali internet wakuu. Messages and calls zinakubali kama kawaida ila net wakuu hamna page inayofunguka wadau.
Natanguliza shukran wakuu.
THANKS A LOT.