Lavit
JF-Expert Member
- May 16, 2011
- 14,754
- 32,344
Wadau nimekuwa nikipata hili tatizo kwenye simu yangu(samsung galaxy note 4), muda mwingine inawaka na kutoa maandishi na inazima, muda mwingine hata maandishi haitoi wala kuonyesha % za kujichaji, yaan inakuwa inavibrate na kujizima na kujirudia!!
Naombeni mawazo yenu nini cha kufanya kabla ya kupelekea mafundi!!
Natanguliza shukrani!!
Naombeni mawazo yenu nini cha kufanya kabla ya kupelekea mafundi!!
Natanguliza shukrani!!