Msaada: Galaxy Note 4 inazima na kuwaka yenyewe!!

Lavit

JF-Expert Member
May 16, 2011
14,754
32,344
Wadau nimekuwa nikipata hili tatizo kwenye simu yangu(samsung galaxy note 4), muda mwingine inawaka na kutoa maandishi na inazima, muda mwingine hata maandishi haitoi wala kuonyesha % za kujichaji, yaan inakuwa inavibrate na kujizima na kujirudia!!

Naombeni mawazo yenu nini cha kufanya kabla ya kupelekea mafundi!!

Natanguliza shukrani!!
 
Wadau nimekuwa nikipata hili tatizo kwenye simu yangu(samsung galaxy note 4), muda mwingine inawaka na kutoa maandishi na inazima, muda mwingine hata maandishi haitoi wala kuonyesha % za kujichaji, yaan inakuwa inavibrate na kujizima na kujirudia!!

Naombeni mawazo yenu nini cha kufanya kabla ya kupelekea mafundi!!

Natanguliza shukrani!!
ni original?? fanya ku restore kwanza ikishindikana itabid uweke rom Mpya
 
Wadau nimekuwa nikipata hili tatizo kwenye simu yangu(samsung galaxy note 4), muda mwingine inawaka na kutoa maandishi na inazima, muda mwingine hata maandishi haitoi wala kuonyesha % za kujichaji, yaan inakuwa inavibrate na kujizima na kujirudia!!

Naombeni mawazo yenu nini cha kufanya kabla ya kupelekea mafundi!!

Natanguliza shukrani!!

Kuwa makini na mafundi mkuu
 
Wadau nimekuwa nikipata hili tatizo kwenye simu yangu(samsung galaxy note 4), muda mwingine inawaka na kutoa maandishi na inazima, muda mwingine hata maandishi haitoi wala kuonyesha % za kujichaji, yaan inakuwa inavibrate na kujizima na kujirudia!!

Naombeni mawazo yenu nini cha kufanya kabla ya kupelekea mafundi!!

Natanguliza shukrani!!
Inawezekana button ya power imejiHold
 
Hapo ungepeleka kkoo ingekutoka karibu 45000 na camera ubadilishiwe na mic uekewe mbovu. Hongera kwa kujitatulia tatizo mwenyewe
Ni kweli ndiyo maana nikalileta humu kwanza.. Maana mafundi wengi wababaishaji!
 
Back
Top Bottom