Nyamburi JF-Expert Member Oct 28, 2011 306 36 Oct 3, 2012 #1 Wadau naombeni msaada wenu hasa kwa wale wakazi wa Morogoro,natafuta fundi wa laptop kwa maeneo haya ya Morogoro mjini!
Wadau naombeni msaada wenu hasa kwa wale wakazi wa Morogoro,natafuta fundi wa laptop kwa maeneo haya ya Morogoro mjini!
araway JF-Expert Member Sep 26, 2007 534 144 Oct 3, 2012 #2 mkuu mtafute mtu anaitwa gift yupo round about ya sua 0718132203
K Kapuku83 Senior Member Sep 8, 2012 146 35 Oct 3, 2012 #3 araway said: mkuu mtafute mtu anaitwa gift yupo round about ya sua 0718132203 Click to expand... Asante sana mkuu,maana na mimi nilikua nahitaji msaada kama wa muheshmiwa hapo juu
araway said: mkuu mtafute mtu anaitwa gift yupo round about ya sua 0718132203 Click to expand... Asante sana mkuu,maana na mimi nilikua nahitaji msaada kama wa muheshmiwa hapo juu
E engmtolera JF-Expert Member Oct 21, 2010 5,150 1,437 Oct 3, 2012 #4 tanzania hakuna fundi wa laptop,kuna warekebisha laptop,hebu muulize kama anadiagnosis tools,