tindikalikali
JF-Expert Member
- Jan 14, 2011
- 4,854
- 1,145
Naomba mnaofahamu mnipe ufafanunuzi, nitapata faida gani ikiwa nitasoma huko ukilinganisha na hapa kwetu?
Jamani nyie hapo chini hebu msimjibu mwenzenu kimzaha.
mi nafikiri kama hawajui wangenyamaza tu wasubirie wanaojua waseme. Wanajiaibisha. Lol!Hahahahaaaaaa......Bora umeliona hilo......lakin nadhan majibu yataendelea kua hayahaya......
Sikutegemea kupata majibu ya mzaha kiasi hiki, hawa nao wanajiita Great thinker? Hivi kuficha upumbavu ni kazi ngumu sana?Jamani nyie hapo chini hebu msimjibu mwenzenu kimzaha.
we kwako huu ni upumbavu? Ikiwa hujui lolote ya nini kuchangia?yanakufaa maana na we umeuliza upumbavu.
ukitegwa kwa mchele huwez kutofautiana na kuku.du sijui nichangie kama hao juu?
Kidogo umejitahidi kuja kwenye mada! Ila habari kuvutia au kutovutia kwa swali ni mtazamo wako. Mi nimeulizwa kwa ujumla wake, lengo ni kujua kipi kipo na kipi kinakosekana katika elimu yetu, ambavyo vinaweza kupatikana huko. Sasa mtu anapokuja na habari ya kuwaona wazungu live, bado tuamini ana akili timamu?Sijaona upumbavu, unless kuwezi kusoma btn lines, nimeona vitu 3 lemme spell for u!1; exposure2: opportunity ya kumake vijicent3: kuimarisha fluency ya lugha ya kigeniOtherwise or in other words kwa michango hii hakuna faida kubwa ndio maana wamesema hivyo.Swali lako mwenyewe halivutii kichangia, bora ungesema worries na interest zako! Nini unataka kusoma etc.
yanakufaa maana na we umeuliza upumbavu.
Mtu anahubiri upumbavu pasipo kusema upumbavu ni upi, hii ni sawa na kujivua nguo.Aaaaaaa.....kweli ni upumbavu aliouliza????????ulitaka aulizaje?????