unshida na nan? head kota au offc gan? anzia hapa:
The Director General
Prevention and Combating of Corruption Bureau
Urambo/Kalenga Street Junction Upanga
P O Box 4865
Dar es salaam Tanzania
dgeneral@pccb.go.tz
Jamani msaada wanalipa vipi PCCB?
Jamani msaada wanalipa vipi PCCB?
Bandugu vip, hawa jamaa wako fair kwenye ajira maana Tanzania yetu wema wamebaki wachache sana hasa kwenye ajira full majanga.
Hivi kweli unaweza kutuma application kwenye hii email yao hata kama hawajasema,naombeni msaada hapaa wadau
guys, naomba mnijuze wanataka qualification zipi, na dedline coz nimetafuta kwenye website yao haifunguki please.
Mkuu unahangaika na web site ya nini wakati
Tangazo lipo hapa jf long sana shuka chini
kuna uzi una tangazo lao