Black Coffee
JF-Expert Member
- Aug 26, 2016
- 1,929
- 3,171
Hi jf doctors na wataalamu wote wa afya!
Nimekuwa na hali iliyoshamiri mwilini mwangu sielewi mishipa ile ya kijani inakaza haiyumi lakini nakereka naskia siko kawaida kabisa sambamba naya miguu mpaka nyayo
Naomba mwenye ujuzi ashauri lolote nijue kwa kina like chanzo, tiba, kuzuia.
Samahani kwa uandishi sijui Nimeeleweka na kama sio nitajaribu kujieleza ukiniuliza zaidi kwa comments
Nimekuwa na hali iliyoshamiri mwilini mwangu sielewi mishipa ile ya kijani inakaza haiyumi lakini nakereka naskia siko kawaida kabisa sambamba naya miguu mpaka nyayo
Naomba mwenye ujuzi ashauri lolote nijue kwa kina like chanzo, tiba, kuzuia.
Samahani kwa uandishi sijui Nimeeleweka na kama sio nitajaribu kujieleza ukiniuliza zaidi kwa comments